|
Baba
Baba
Baba ninakupenda,
asante sana Baba,
Mwokozi wangu
Baba Baba
Baba ninakupenda,
asante sana Baba,
Mwokozi wangu
Mimi Hapa
Mimi sitaona haya,
Kusema mimi wako, na
wewe wangu
Mimi Hapa
Mimi sitaona haya,
Kusema mimi wako, na
wewe wangu
Katika Maisha yangu
Baba
Nisaidie, nisaidie
Baba ah
Katika Kazi zangu
Nisaidie, nisaidie
Baba ah
Katika Mwenendo wangu
Baba
Nisaidie, nisaidie
Baba ah
Baba Baba
Baba ninakupenda,
asante sana Baba,
Mwokozi wangu
Baba Yangu
Baba ninakupenda,
asante sana Baba,
Mwokozi wangu
Mimi kamwe
Mimi Sitaona haya,
kusema mimi wako, na
wewe wangu
Mimi Hapa
Mimi sitaona haya,
kusema mimi wako, na
wewe wangu
Katika Kanisa lako
Baba
Nisaidie, nisaidie
Baba ah
Katika kazi zako Baba
Nisaidie, nisaidie
Baba ah
Katika wokovu wangu
Nisaidie, nisaidie
Baba Ah
|